Archive Pages Design$type=blogging

KIMATAIFA

TUME YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA WAPIGA KURA LITAKALOTUMIKA KATIKA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva akisoma taarifa ya tume mbele ya waandishi wa habari inayohusu ufafanuzi ...


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva akisoma taarifa ya tume mbele ya waandishi wa habari inayohusu ufafanuzi kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura litakalotumika  katika uchaguzi wa ubunge jimbo la Kalenga,kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Himid Mahamoud Himid na upande wa kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Julius Malaba.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva akibadilishana mawazo kabla ya kujibu swali kwa waandishi wa habari ambao waliuliza kuhusu mambo mbali mbali yanayohusiana na daftari la kudumu na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Himid Mahamoud Himid.
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Jaji John Joseph Mkwawa akizungumzia suala zima la vyama kuwa makini siku ya kupiga kura kwani hakutotakiwa kuwe na alama ama kielelezo cha chama fulani katika siku hiyo,kushoto kwake ni Profesa Amon Chaligha .
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva akijadiliana suala la takwimu za daftari la kupiga kura pamoja na Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius Malaba na Dk.Sist Cariah Naibu Katibu wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Tehama ambapo wapiga kura ambao taarifa zao zimetokea zaidi ya mara moja  waliondolewa kwenye daftari hilo na ni wapiga kura hao kwa idadi ni 142.
Baadhi ya maofisa wa Tume ya Uchaguzi wakisikiliza kwa makini kikao cha Tume ya Uchaguzi na Waandishi wa habari wakati wa kutoa taarifa juu ya daftari la kudumu litakalotumika kwenye uchaguzi wa ubunge Kalenga siku ya tarehe 16 Machi 2014 ambapo taarifa za uhakiki zilizofanyika  zilikuwa 149 tu na wapiga kura walioongezeka  katika daftari lililotumika  katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 ni 7 tu na sio 600 kama ilivyoripotiwa na vyombo mbali mbali vya habari.

Picha na Adam Mzee

COMMENTS

Name

KIMATAIFA KITAIFA MICHEZO NA BURUDANI SIASA TEKNOLOJIA VIDEOS
false
ltr
item
Haki Ngowi Dummy blog: TUME YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA WAPIGA KURA LITAKALOTUMIKA KATIKA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
TUME YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA WAPIGA KURA LITAKALOTUMIKA KATIKA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj36DyKAvODvr8_7I6DkSHS_Ygi4YtPP_q3vGUEhsv4EK_0kVP4y-lZm5vB6eEFrIVDXuQKlWmHtP71Cy_yDHnrzrqSjOyR2tF2fy-06uzqpB7-wPclp2jHbZYRQIzHwwld1O02vJsw_t8B/s1600/7.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj36DyKAvODvr8_7I6DkSHS_Ygi4YtPP_q3vGUEhsv4EK_0kVP4y-lZm5vB6eEFrIVDXuQKlWmHtP71Cy_yDHnrzrqSjOyR2tF2fy-06uzqpB7-wPclp2jHbZYRQIzHwwld1O02vJsw_t8B/s72-c/7.jpg
Haki Ngowi Dummy blog
https://haki-test.blogspot.com/2014/03/tume-yatoa-ufafanuzi-kuhusu-daftari-la.html
https://haki-test.blogspot.com/
http://haki-test.blogspot.com/
http://haki-test.blogspot.com/2014/03/tume-yatoa-ufafanuzi-kuhusu-daftari-la.html
true
7141405487204459096
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago