post-feature-image

WADAU WA PSPF WAONESHWA NYUMBA ZA MKOPO ZILIZOPO BUYUNI CHANIKA

Click to see detail of visits and stats for this site

Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umekamilisha awamu ya kwanza ya ujenzi wa nyumba 641 katika mikoa mitano ambazo zilianza kuuz...







Mfuko
wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umekamilisha awamu ya kwanza ya ujenzi
wa nyumba 641 katika mikoa mitano ambazo zilianza kuuzwa tangu Novemba mwaka
2012. Mradi huo unalenga kutatua tatizo la makazi kwa wanachama wake na jamii
kwa ujumla.

Mikoa
iliyojengwa nyumba hizo na idadi ya nyumba katika mabano ni Dar es salaam –
Buyuni (491), Morogoro – Lukobe (25), Shinyanga – Ibadakuli (50), Tabora –
Usule (25) na Mkoa wa Mtwara – Mang’amba (50).

Aidha
kwa Muji wa maelezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bwana Adam Mayingu
amewaambia wanaadishi wa habari na viongozi mbalimbali waliotembelea eneo la
mradi huo Mkoawa Dar es Salaam kuwa Shirika lake limejenga nyumba za aina nne
ambazo ni za nyumba viwili, Vyumba vitatu, Nyumba za vyumba vitatu kimoja ikiwa
ni Master na Nyumba ya vymba vine kimoja kikiwa ni Master.

Gharama
ya ununuzu wa nyumba hizo ambazo zinauzwa kwa wanachama wa Mfuko huo ni kati ya
Shilingi Milioni 64 hadi milioni 94 gharama zikijumlishwa na Kodi ya ongezejo
la Thamani.


Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) Adam Mayingu
(katikati) akiwaonesha maofisa wa Jeshi la Polisi moja ya nyumba 491 zilizopo
katika mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu ambazo zitkopeshwa kwa
wanachgama wa mfuko huo. Nyumba hizo zipo katika eneo la Kigezi Kata ya Majohe
wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.


Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) Adam Mayingu
(kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa
ziara hiyo ya kuakagua makazi hayo. Kulia ni  Naibu Meya wa Manispaa ya
Ilala, Hery Mohamed Kessy Nyumba hizo zipo katika eneo la Kigezi Kata ya Majohe
wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
 Wadau mbalimbali wakitembelea nyumba hizo hii leo.
 Ziara ikiendelea katika nyumba hizo zipatazo 491


Name

KIMATAIFA KITAIFA MICHEZO NA BURUDANI SIASA TEKNOLOJIA VIDEOS
false
ltr
item
Haki Ngowi Dummy blog: WADAU WA PSPF WAONESHWA NYUMBA ZA MKOPO ZILIZOPO BUYUNI CHANIKA
WADAU WA PSPF WAONESHWA NYUMBA ZA MKOPO ZILIZOPO BUYUNI CHANIKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQYTl__ylCDN5OAyrAFTzFDu-Vee6rTVR1-NIn48psZd4N9D-qGjLKieN5aWN60e9NcRRTm6D6KPwar49Xvgcn3hj1f955RBK9YkYkymj_lTGbSs2ZmRrbmfw4FwbrnG_4i9lS7at-Z1EM/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQYTl__ylCDN5OAyrAFTzFDu-Vee6rTVR1-NIn48psZd4N9D-qGjLKieN5aWN60e9NcRRTm6D6KPwar49Xvgcn3hj1f955RBK9YkYkymj_lTGbSs2ZmRrbmfw4FwbrnG_4i9lS7at-Z1EM/s72-c/1.jpg
Haki Ngowi Dummy blog
https://haki-test.blogspot.com/2013/02/wadau-wa-pspf-waoneshwa-nyumba-za-mkopo.html
https://haki-test.blogspot.com/
http://haki-test.blogspot.com/
http://haki-test.blogspot.com/2013/02/wadau-wa-pspf-waoneshwa-nyumba-za-mkopo.html
true
7141405487204459096
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago